Psalms 33:13-15


13 aKutoka mbinguni Bwana hutazama chini
na kuwaona wanadamu wote;

14 bkutoka maskani mwake huwaangalia
wote wakaao duniani:

15 cyeye ambaye huumba mioyo yao wote,
ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.
Copyright information for SwhKC